51³Ô¹Ï

Youth activists protest demanding leaders to address their loss and damage responsibility.
Tusipuuze umuhimu wa ufadhili kama kichochezi cha mabadiliko kwa hasara na uharibifu
Dkt. Nirmal Shah, mhifadhi bingwa kutoka Ushelisheli, anasaidia kuwaokoa ndege adimu
Fazal Issa Climate and Environment Programme Manager at the Embassy of Ireland, Tanzania
Hazina ya kusaidia hasara na uharibifu imekaribishwa, haja ya kushughulikia ukabilifu na utekelezaji wa hazina ya kusaidia walio katika hatari zaidi
Taarifa kuhusu mazingira ni ghali; zinahitaji kusafiri kwingi na kujasirisha
Military Gender Advisor Steplyne Nyaboga
Jeshi Spc. Angel Laureano anashikilia chupa ya chanjo ya COVID-19. Picha: Lisa Ferdinando
Upatikanaji unahitaji mshikamano wa kimataifa, teknolojia ya pamoja na kuondoa masharti ya Haki Miliki.
Bandari huko Tema, Ghana.
Kufanya mambo kama kawaida katika kipindi cha baada ya janga kutazidisha matatizo ya kiuchumi
Mwanamke aliyefurushwa Kaskazini mwa Mali ukanda wa Sahel akiwa katika makazi ya muda karibu na kituo cha basi Mopti
UN News
Maafisa wa UNMISS wakizungumza na wenyeji katika soko lililoko mpakani
UN News
Familia iliyotawanywa ikiondoka katika kambi ya ulinzi wa raia ya Umoja wa Mataifa mjini Juba kurejea nyumbani kwao Jonglei Sudan Kusini
UN News
Mkimbizi mwenye umri wa miaka 29 anayetafuta hifadhi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ameketi na watoto wake baada ya uchunguzi wa kimatibabu karibu na mpaka wa Zombo, Uganda.
UN News
Fedha zinazotumwa na wahamiaji waishio ugaibuni kwa jamii nyumbani zinasaidia watu milion 800 ulimwenguni kote
UN News
Kamanda wa kikosi cha Tanzania huko DRC, Luteni Kanali John Ndunguru katika mazungumzo na afisa wa jeshi la DRC, FARDC huko Beni, DRC.
UN News
Washauri wakisaikolojia wanazungumza na mama wa mtoto wa miaka tisa katika Kituo cha Tiba ya Antiretroviral Therapy (ART) katika hospitali ya Mumbai, India.
UN News
Raia waliofurushwa na mashambulizi ya LRA
UN News
Wasichana nchini Liberia wakifuatilia taarifa katika simu ya mkononi
UN News
Gari za UN zilizoharibiwa wakati washambulizaji wenye silaha waliposhambulia mji wa Monguno katika jimbo la Borno, Nigeria.
UN News
Ulinzi wa raia ni agizo muhimu kwa shughuli nyingi za kulinda amani za
UN News
Wahamiaji kutoka Ethiopia waliokuwa wamekwama nchini Yeman wakirejea Addis Ababa kwa msaada wa IOM
UN News
Taswira ya kutoka angani ya mji mkuu wa Sudan, Khartoum
UN News
Anurith, mkimbizi kutoka DRC akisaka hifadhi Uganda.
UN News
Wakuchi, jamii hii ya kuhamahama kutoka Afghanistan, mara nyingi hupata kipato chao kwa uchungaji wa mbuzi, kondoo na ngamia lakini mlipuko wa COVID-19 umekuwa mwiba kwao.
UN News
Mwananchi akipita pembezoni ya Msikiti wa Djingareyber, Timbuktu, Mali. Mji huu hivi ni moja ya urithi wa dunia ulioko hatarini.
UN News
Mlinzi wa kikosi cha kulinda amani Sudan Kusini kutoka China akiwa anashika doria mjini Juba.Picha
UN News
Kamanda wa kikosi cha Tanzania huko DRC, Luteni Kanali John Ndunguru katika mazungumzo na afisa wa jeshi la DRC, FARDC huko Beni, DRC.
UN News
Wahudumu wa afya katika kiliniki inayosaidiwa na UN karibu na kambi ya wakimbizi wa ndani ya Ceel Jaale katika eneo la Belet Weyne wakimuhudumia mama na bintiye mdogo.
UN News
Kazi ya sanaa ya Fatma Mahmoud Salama Raslan
UN News
Katibu Mkuu wa UN Ant¨®nio Guterres (katika picha hii ya maktaba) alipohutubia kikao maalum cha Bunge la Italia
UN News
Wakati wa mlipuko wa COVID-19 shirika la mpango wa chakula duniani WFP linagawa msaada wa kadi za fedha kwa familia 1,500 huko El Alto na La Paz, Bolivia
UN News
Shemison Banda, kutoka Lilongwe Malawi ni baba wa kipekee kwa familia yake kwa kuwa anasaidia mkewe kazi za nyumbani.
UN News
Winnie Byanyima ambaye ni mkurugenzi mtendaji mpya wa UNAIDS akiwa kwenye moja ya mikutano ya kuwawezesha wanawake kiuchumi kwenye Umoja wa Mataifa.
UN News
Fundi cherehani raia wa Jamhuri wa Kidemokrasi ya Congo- DRC lakini akiishi kama mkimbizi Kenya.
UN News
Baada ya kunusurika utmwa aliotekwa na wanajeshi Guatemala , Maria Ba Caal alipatiwa msaada na mfuko wa Umoja wa Mataifa wa hiyari wa msaada kwa waathirika wa utesaji
UN News
Peter Thomson Rais wa kikao cha 71 cha Baraza Kuu akiwa ameshikilia katiba ya Umoja wa Mataifa
UN News
Wakazi wa Yambio wakiendelea na shughuli zao kwenye eneo la soko
UN News
Pili Missana (gauni la manjano) ambaye taasisi yake inaendesha nyumba ya Back to Life, akiwa kwenye picha ya pamoja na wanufaika wa programu ya ujasiriamali.
UN News
Mkurugenzi mkuu wa WHO Dkt. Tedros Ghebreyesus akizungumza katika moja ya taarifa za WHo kuhudsu janga la COVID-19
UN News
Wauguzi wakisherekea mwisho wa janga la Ebola mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ambapo wafanyakazi zaidi ya 200 walifanya kazi bila kuchoka kulinda watoto kutokana na ugonjwa huo.
UN News
Wanafunzi wakisomea chini ya mti, Hudaydah, Yemen.
UN News
Watoto wakimbizi katika kambi za Zaatari nchini Jordan wakionyesha ishara ya amani
UN News
Martha Achok akikuza uelewa kuhusu jinsi ya kuzuia kusambaa kwa COVID-19 nchini Uganda.
UN News
Frederick Msegela, Meneja wa CCBRT nchini Tanzania wakati wa mahojiano na UNIC Dar es salaam nchini humo.
UN News
Wawakilishi kutoka nchi 50 wakiwa kwenye kikao kilichofanyika San Francisco nchini Marekani, kikao kilichofanikisha kuanzishwa kwa Umoja wa mataifa.
UN News
Wanawake na watoto waliotawanywa kutokana na mapigano Jebel Marra, Darfur Kaskazini, wakijihifadhi katika kituo kipya cha Tawilla
UN News
MONUSCO yashiriki kurejesha amani huko Lodja, DRC
UN News
Mwanamke akipita pembeni ya gari la wagonjwa ndani ya hospitali ya Benadir mjini Mogadishu, Somalia.
UN News
Ndege ya mizigo kutoka kituo cha kipya cha WFP Ubeligiji ilipotua nchini Burkina Faso ikiwa imebeba takribani tani 16 za mzigo wa dawa pamoja na vifaa vingine vya kujikinga na magonjwa kama barakoa, kwa niaba ya UNICEF na ICRC. Picha ya Maktaba.
UN News
Ester Angello mwenye umri wa miaka 44 ni mjane mkazi wa Juba Sudan Kusini. Anajipatia kipato cha kulea wanae 8 kwa kuuza uturi huu anaotengeneza mwenyewe.
UN News
Rais mteule wa mkutano wa 75 wa Baraza Kuu la UN, Volkan Bozkir (kushoto) katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa UN Ant¨®nio Guterres katika picha hii ya pamoja ya Januari 2020.
UN News
Mkimbizi Djuba Dionis kutoka DRC akitumia stadi zake za uhubiri kuelimisha wenzake kambini Kakuma nchini Kenya kuhusu jinsi ya kujikinga na COVID-19.
UN News
Mama huko Mbarara, Uganda Magharibi, anahakikisha kuwa watoto wake wote wanapata dawa ARVs za watoto kwa wakati mmoja kila siku.
UN News
Jon Witt, akifanya mazoezi ya Yoga Jersey City
UN News
Upigaji kura katika uchaguzi wa mjumbe asiye wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Uchaguzi umefanyika kwenye makao makuu ya UN, New York, Marekani
UN News
Gereza Kuu la Ngaragba nchini CAR limepokea vifaa vya kujikinga na COVID-19 kutoka MINUSCA na UNDP.
UN News
Vijana wakiwa wamevaa barakoa wakati wa kuendesha baiskeli kwenye bustani moja huko B¨¹y¨¹k?ekmece, Uturuki.
UN News
Mwakilishi akipiga kura katika uchaguzi wa wajumbe wa ECOSOC
UN News
Mgonjwa akifikishwa katika hospitali ya Mount Sinai huko Astoria jijini New York, Marekani
UN News
Msichana akipika katika moja ya vijiji nchini Ethiopia ambalo ardhi imeathirika vibaya na ukame unaoendelea
UN News
Watoto katika kambi ya wakimbizi wa ndani iliyoko Maiduguri, Borno, Nigeria
UN News
Gari za UN zilizoharibiwa wakati washambuliaji wenye silaha waliposhambulia mji wa Monguno katika jimbo la Borno, Nigeria.
UN News
Mapokezi ya vifaa vya uchaguzi kwenye mji mkuu wa CAR, Bangui.
UN News
Muuguzi katika kituo cha afya cha Elmina nchini Ghana akiweka katika bomba la sindano chanjo dhidi ya homa ya vichomi au numonia.
UN News
Emoji iliyoandaliwa na mbunifu wa michoro kwa kutumia kompyuta Grebet O¡¯Plerou kutoka Cote D'Ivoire.
UN News
Kikosi cha 7 cha Tanzania kwenye ujumbe wa UN nchini DRC, MONUSCO wakikabidhi msaada wa dawa kwa hospitali kuu ya Beni jimboni Kivu Kaskazini.
UN News
Picha ya maktaba ikiwaonesha walinda amani kutoka Chad wakifanya doria katika mitaa ya Kidal nchini Mali Desemba 2016
UN News
Mji mkongwe wa Benghazi, Libya Februari 2019
UN News
Nchini Niger, watot milioni 1.6 waliohatarini wanathiriwa na changamoto na mizozo ya kibinadamu, pamoja na kufungwa kwa mipaka ili kuzuia kuenea kwa COVID-19.
UN News
Maccelina Chuwa, mkazi wa Dodoma nchini Tanzania wakati wa mahojiano na UN News Kiswahili
UN News
Walimu wamekuwa wakifanyakazi ya kuelimisha wanajamii kuhusu COVID-19 katika mipango ya elimu iliyotangazwa kwenye Radio Miraya, ambayo inaendeshwa na ujumbe wa kulinda amani wa UN huko Sudan Kusini
UN News
Mvulana mchanga ambaye alilazimika kukimbia nyumbani kwao kutokana na vurugu huko Kaya, Burkina Faso.
UN News
Mradi wa sehemu ya kunawa mikono kwa ufadhili wa Mo Dewj Foundation nchini Tanzania.
UN News
Kutokana na janga la Corona lililosababisha shule kufungwa, nchini Tanzania wabunifu MITZ Group wamebuni kifaa cha kuwezesha wanafunzi (pichani) kufanya mafunzo ya sayansi kwa vitendo wakiwa nyumbani bila mwalimu.
UN News
Manusura wa ukatili wa kingono akiwa Monrovia, Liberia.
UN News
Hatua za kujizuia maambukizi ya COVID-19 za zimewekwa katika makazi yasiyokuwa rasmi huko Nairobi, Kenya.
UN News
Picha ya juu ikionesha mtaa wa mabanda wa Mathare mjini Nairobi Kenya
UN News
Watoto katika kambi ya wakimbizi wa ndani iliyoko Maiduguri, Borno, Nigeria
UN News
Rais Pierre Nkurunziza wa Jamhuri ya Burundi, akihutubia kikao cha 66 cha Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa mnamo Septemba, 2011.
UN News
Photo: UNWTO
UN News
Mkimbizi wa Sudan Kusini na mtoto katika makazi ya Bele katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
UN News
Taa za sola zinapatiwa chaji badala ili zitumiwe na wavuvi badala ya koroboi za mafuta ya taa. Mradi huu umepata ufadhili wa UNEP, Tanzania.
UN News
Taa za sola zinapatiwa chaji badala ili zitumiwe na wavuvi badala ya koroboi za mafuta ya taa. Mradi huu umepata ufadhili wa UNEP, Tanzania.
UN News
Katika kliniki moja ya kutibu wagonjwa wa Ebola huko Mbandaka jimbo la Kivu Kaskazini, mhudumu akiwa amevalia mavazi rasmi ili kuepusha maambukizi.
UN News
Nyama ikiwa katika soko la Hamarwayne, Mogadishu, Somalia
UN News
Watoto wakiwa kwenye kituo chao cha kucheza ambacho ni salama. Kituo kimeanzishwa na UNICEF.
UN News
Miradi kama hii ya FAO ya kutengeneza maeneo ya kunywa maji wanyama huko Turkana nchini Kenya, ni miradi ya kuepusha mvutano kati ya wakulima na wafugaji na pia hutunza mazingira. (2011)
UN News
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet
UN News
Tai akiwa kwenye tawi wakati wa dhoruba ya mvua ya masika huko Narrowsburg, New York.
UN News
Kimbuga Idai kilichopita mja wa Beira nchini Msumbiji mwaka 2019 kilikuwa na madhara makubwa. Pichani wananchi wakiendelea kupokea msaada mwaka mmoja tangu janga hilo.
UN News
 Desert Locust Swarms
Afrika Mashariki yavamiwa na wimbi la pili la nzige na kuwacha mamilioni katika hatari ya kukosa chakula
Dr. Theo-Ben Kandetu (Namibia)
-Dkt. Theo-Ben Kandetu (Namibia)
Mshauri Maalum wa Umoja wa Mataifaa kuhusu Afrika
Igihozo, 11, listens to a lesson on a radio after his school was closed in Rwanda.
Mataifa yatumia redio, runinga na mtandao kuwashughulisha wanafunzi
Wamkele Mene
-Wamkele Mene, Katibu Mkuu, Idara ya Usimamizi wa Soko Huru la Bara Afrika (AfCFTA)
Ms. Wafula-Strike is founder of the Olympia-Wafula Foundation
Umoja wa Mataifa Wataka walemavu wawe katika msitari wa mbele wa kufikiriwa
Dr. Salah Okeel, Offshore Medical Doctor in Egypt
-Dkt. Salah Okeel, Daktari wa Kimatibabu nyanjani nchini Misri
-Okwa Morphy from Nigeria, serving in South Sudan
¡ª Okwa Morphy kutoka Nijeria, nahudumu Sudan Kusini
Jackline Urujeni from Rwanda
-Okwa Morphy kutoka Nijeria, nahudumu Sudan Kusini
Dr. Alison Amarachukwu Karen (Nigeria)
-Dkt. Alison Amarachukwu Karen (Nijeria)
UNAMID kwa kushirikiana na Kamati ya Darfur Kaskazini kuhusu wanawake, iliandaa siku moja majadiliano ya azimio namba 1325 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu wanawake, amani na usalama Darfur Kaskazini
UN News
Mizinga ya nyuki ya kisasa, ijulikanayo kama Tanzania Top Bar Hives ikiwa imetengenezwa na mfugaji aliyepatiwa mafunzo na FAO kupitia KJP.ukua hatua na kutekeleza kwa vitendo.
UN News
Wanawake wakitengeneza sabuni katika mpango wa CVR huko Bria mpango unaoendeshwa na MINUSCA
UN News
Umati wa watu wakianadamana kwenye mitaa ya mji mkuu wa Sudan Kharthoum 11 Aprili 2019
UN News
Wanawake wakulima wilayani Kakonko nchini Tanzania waliopokea mafunzo kuhusu mbinu za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
UN News
Mama na mwanawe wakiwa hospitalini nchini Colombia akati huu wa janga la COVID-19
UN News
Mkurugenzi mkuu wa WHO Dkt. Tedros Ghebreyesus akizungumza katika moja ya taarifa za WHo kuhudsu janga la COVID-19
UN News
Mkimbizi kutoka syria Mohammad Alkhalaf akiwa kwenye chumba cha dereva kwenye treni huko Hamburg nchini Ujerumani ambako amepata fursa ya uanagenzi.
UN News
Mnamo tarehe 30 Machi, Le¨®n mwenye umri wa miezi 7 na wazazi wake wakitazama maonyesho ya kila siku ya bandia yaliyowekwa na majirani zao wakati huu wa COVID-19 ili kuburudisha mtoto.
UN News
UNHCR na washirika wanaunga mkono wakimbizi wa Venezuela na wahamiaji wanaoishi katika mitaa ya Boa Vista, katika jimbo la Roraima kaskazini mwa Brazil wakati wa janga la COVID-19.
UN News
Nzige wa jangwani wamevamia kaunti nne eneo la Equatoria mashariki mwa Sudan Kusini.
UN News
Uthibitisho wa kitambulisho Kambi ya wakimbizi ya Kakuma
UN News
Kutokana na janga la Corona lililosababisha shule kufungwa, nchini Tanzania wabunifu MITZ Group wamebuni kifaa cha kuwezesha wanafunzi (pichani) kufanya mafunzo ya sayansi kwa vitendo wakiwa nyumbani bila mwalimu.
UN News
Nchini Niger, watot milioni 1.6 waliohatarini wanathiriwa na changamoto na mizozo ya kibinadamu, pamoja na kufungwa kwa mipaka ili kuzuia kuenea kwa COVID-19.
UN News
Wanawake walio na saratani ya matiti hupokea matibabu ya bure katika Taasisi ya Saratani ya Kitaifa huko Mexico City.
UN News
Maafisa wa WHO wakiandaa chanjo ya Ebola huko Butembo DRC.
UN News
Mwanamke akipita pembeni ya gari la wagonjwa ndani ya hospitali ya Benadir mjini Mogadishu, Somalia.
UN News
Polisi wa UNAMID wakiwezesha mafunzo ya lugha ya kiingereza kwa wanawake wakimbizi wa ndani mjini El Fasher , Kaskazini mwa Darfur Sudan
UN News
Wakimbizi kutoka Nigeria wakiwasili katika kijiji cha Goura nchini Cameroon mwezi Januari 2019
UN News
Walinda amani wanawake kutoka Tanzania wakizungumza na wanawake huko Beni, DRC.
UN News
Walinda amani wanawake kutoka Tanzania katika mazungumzo na mwanamke mkazi wa Beni, nchini DRC
UN News
Sajini Bari Mwita, mwanamke pekee dereva na fundi makenika katika kikosi cha 7 cha Tanzania, TANZBATT 7, huko Beni, DRC akijiandaa kurekebisha gari lililoharibika.
UN News
Almaz Kabtimer Desta, Sajenti raia wa Ethiopia anayefanya kazi katika Mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNIMISS akihudumu kama fundi makenika
UN News
Sajini Tekla Kibiriti wa kikundi cha 7 cha kikosi cha TANZBATT 7 kilichoko kikosi cha kujibu mashambulizi cha MONUSCO, FIB, akitoa huduma ya afya kwa wanawake wakazi wa kata ya Matembo iliyoko Beni jimboni Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemorkasia ya
UN News
Watoto Sudan Kusini
UN News
Jamii inajitolea kutengeneza barakoa kwa wafanyakazi wa huduma za Afya huko Cox's Bazar Bagladesh
UN News
Dieunit Kanyinda, mwanahabari kutoka Kinshasa, DRC akirekodi kipindi chake kutokea nyumbani.
UN News
Grace akipita mbele ya duka lililofungwa akiwa anaelekea sokoni Kibera kuelimisha jamii jinsi ya kujikinga na Corona.
UN News
Wanawake wakulima wilayani Kakonko nchini Tanzania waliopokea mafunzo kuhusu mbinu za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
UN News
Mtoto Steve Okito mwenye umri wa miaka 14, ni kiziwi na anatoa ushuhuda jinsi janga la Corona lilivyoathiri masomo yake na familia yake.
UN News
Washindi wa tuzo ya masuala ya jinsia ya Un mwaka 2020, Meja Suman Gawani (Kushoto) wa jeshi la India aliyetumika awali UNMISS na kamanda Carla Monteiro de Castro Araujo, afisa wa jeshi la anga la Brazil ambaye sasa anafanyakazi na MINUSCA
UN News
Walinda amani wa MONUSCO wameweka mikakati kudhibiti kuenea kwa COVID-19
UN News
Mamilioni ya watu duniani kote wanategemea misitu kwa ajili ya kipato na chakula
UN News
Olivia Nankindu mkazi wa Kyotera nchini Uganda.
UN News
Mtaa wa mabanda jijini Nairobi, Kenya, 2016.
UN News
Mnamo Machi 2018, WFP imezindua usambazaji mkubwa wa chakula ili kutatua mzozo mpya wa kibinadamu katika jimbo la Ituri ambapo watu takriban 343,000 wamekimbia kutoka vijiji vyao kutokana na mapigano ya kabila.
UN News
Verified will provide information around three themes:  science ¡ª to save lives; solidarity ¡ª to promote local and global cooperation; and solutions ¡ª to advocate for support to impacted populations
Kambini Dadaab
UN News
Watoto wakimbizi wa ndani wakiwa kwenye hema lililochanika katika makazi ya wakimbizi wa ndani ya Abs nchini Yemen.
UN News
 Wakimbizi wa Burundi katika makazi ya Mulongwe huko Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
UN News
Walinda amani wa UNMISS wamekarabati maktaba na kutoa vitabu vipya na vikukuu kwa ajili ya wanafunzi kwenye kituo cha ulinzi wa raia.
UN News
Wanafunzi wakiwa katika moja ya vipindi maalum kwenye Radio Miraya ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa Sudan Kusini, UNMISS
UN News
Wanawake nchini Cameroon wakiwa kwenye foleni ya kupokea chakula huku wakizingatia kanunu za kutokaribiana ilikuzuia maambukizi ya COVID-19
UN News
Nyuki akichavua ua kwenye mti wa mkaratusi katika kituo cha utafiti wa misitu cha Chesa mjini Bulawayo nchini Zimbabwe.
UN News
Wakimbizi wa Rwanda ambao waliikimbia nchi wakati wa mauaji ya kimbari, katika picha walipokuwa wakirejea nyumbani.
UN News
Shirika la Wafransisko Wakapuchini wa nchini Kenya wakiwa kwenye tukio la kupanda miti kuadhimisha miaka 5 tangu Papa Francis apitishe tamko la kutunza mazingira.
UN News
Nyuki ni wadudu muhimu sana, bila uwepo wao maua hayatachavuliwa na upatikanaji wa chakula utakuwa hatarini.
UN News
Chakula kutoka mpango wa chakula duniani FAO kikipakiwa katika meli kutoika Djibout hadi Yemen.
UN News
Mwanamke raia wa Somalia akiwa na mtoto wake wa umri wa mwaka mmoja katika kituo cha Ganfoda karibu na Benghazi baada ya kuyakimbia machafuko katika nchi yake na kuingia kinyume cha sheria Libya.
UN News
Watoto wanajaza maji katika vikombe. HDI yasema watoto hawa wanaweza kukaa shelen mda mdogo kuliko wenzao katika mataifa yaliyoendelea..
UN News
Miongoni mwa vifaa vya kusaidia kupima COVID-19 ambavyo Morocco imepokea kutoka IAEA.
UN News
Wasichana wakiwa katika kibanda cha walionyanyasiwa kijinsia Mogadishu. Baaadhi wanaweza kupata ajira katika duka mama mmoja mjini humo la vitambaa.
UN News
Marafiki wawili wanaounga mkono haki za wapenzi wa jinsia moja wakiwa kwenye maandamano jijini New York, Marekani (2018)
UN News
Siku ya kimataifa ya wasichana kwenye TEHAMA, Addis Ababa, Ethiopia, 2019.
UN News
Muuguzi akiandaa chanjo ya kuchanja mtoto katika kliniki Kivu Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
UN News
Wavuvi kutoka Kenya wakiwa katika harakati za uvuvi kwenye ziwa Victoria ambako Sangara ndiko makazi yake zaidi
UN News
Familia eneo la Kaya jimbo la Sanmatenge nchini Burkina Faso ikipata mlo baada ya kupokea mgao kutoka WFP.
UN News
Kama sehemu ya kampeni kuhusu COVID-19, kamanda wa Bangladesh anayehudumu katika MINUSCA nchini CAR akimhamasisha mkandarasi mwenyeji kuvaa barakoa.
UN News
Pichani iliyopigwa kutoka angani inaonyesha sehemu ya makazi kwenye kambi ya wakimbizi ya Kakuma nchini Kenya
UN News
Utafiti wa kutafuta Chanjo ya virusi vya Corona unaendelea
UN News
Wagonjwa wa COVID-19 wamethibitika katika Kituo cha ulinzi wa raia cha UN mjini Juba Sudan Kusini
UN News
Dkt. Walter Kazadi Mulombo, Mwakilishi wa WHO nchini Burundi, ( wa pili kushoto) wakati wa uzinduzi wa wiki ya afya ya mama na mtoto mwaka 2019 nchini humo.
UN News
Dkt. Leah Kundya, Mkuu wa kitengo cha Damu Salama, hospitali ya rufaa ya Dodoma nchini Tanzania.
UN News
Mkurugenzi mkuu wa WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus akitoa taarifa kuhusu mlipuko wa COVID-19 mjini Geneva
UN News
Hapa ni Kaya nchini Burkina Faso, watoto wakicheza ndani ya hema, ikiwa ni eneo rafiki la kucheza kwa watoto wakimbizi wa ndani waliofurushwa makwao kutokana na mzozo nchini humo.
UN News
Askari wa Niger wakifanya doria kusini mwa nchi katika mpaka wa nchi yao na Nigeria
UN News
Huu ulikuwa utabiri wa FAO kuhusu mwelekeo wa nzige wa jangwani kwenye eneo la pembe ya Afrika kwa mwezi Machi hadi Juni 2020
UN News
Kofia ya chuma ya buluu na vizibao mahsusi vya walinda amani wa Umoja wa Mataifa
UN News
Maafisa wa UNMISS wakizungumza na wenyeji katika soko lililoko mpakani
UN News
Amina Mahdi Abid, (wa pili kushoto) akijifunza jinsi ya kuunganisha na kufunga mitambo ya sola kwenye kituo kinachopatiwa msaada na UNICEF huko Dollow, nchini Somalia.
UN News
Mfanyikazi akifanyakazi katika Kampuni ya Clean World akitoa mabaki ya sabuni inayotoka katika ukanda wa conveyor
UN News
Wanawake wakiteka maji katika mradi wa maji uliofadhiliwa na shirika la uhamiaji la Umoja wa Mataifa, IOM katika kambi ya wakimbizi wa ndani ya Dolow nchini Somalia. IOM, WFP na mashirika mengine waliweze kusaidia mahitaij ya wakimbizi hao kutokana na mfu
UN News
Picha ya maktaba inaonesha waokoaji wa kikosi cha wanamaji cha Italia wakiokoa wahamiaji kwenye bahari ya Mediterania
UN News
Wakazi wa jimbo la Lagos waigiza kuhusu namna ya kukohoa kwenye kiwiko cha mkono wakati wa kampeni ya kuzuia virusi vya corona.
UN News
Mkunga Adelaide Raul kutoka Msumbiji akifurahi na mama baada ya kumzalisha watoto mapacha
UN News
Wafanyikazi katika makazi duni ya Kibera jijini Nairobi, Kenya wanachukua hatua za kujikinga na virusi vya Corona
UN News
Mkunga Adelaide Raul kutoka Msumbiji akifurahi na mama baada ya kumzalisha watoto mapacha
UN News
Wanawake wakiwa kwenye kituo cha afya nchini Ethiopia
UN News
Mkunga awapa chanjo dhidi ya polio Mama na mtoto wake mchanga.
UN News
Mtoto nchini Madagascar akila mlo wake wa mchana. Mafuriki yamesababisha mtoto huyu kujikuta mkimbizi wa ndani.
UN News
Mvua kubwa zilizosababisha mafuriko zimeharibu barabara na sasa wakazi wanatembea ndani ya maji ili kufikia maeneo yao huko Khor Adar.
UN News
Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa UN nchini Somalia, Balozi Augustine Mahiga, (kushoto) akihutubia Baraza la Usalama kuhusu Somalia. (11 Mei 2011)
UN News
Utafiti wa kutafuta Chanjo ya virusi vya Corona unaendelea
UN News
Augustine Mahiga, (katikati) Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa UN nchini Somalia akizungumza na wanajeshi kutoka ujumbe wa Muungano wa Afrika Somalia, AMISOM, kwenye makao makuu Mogadishu, 24 Januari 2012.
UN News
Balozi wa amani akizungumza na wanafunzi katika shule mjini Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC , kuhusu kuchagiza amani na usawa wa kijinsia
UN News
Kambini Dadaab
UN News
Malis, (si jina lake halisi) akiwa kwenye karakana yake kwenye eneo la Yambio jimboni Equatoria Magharibi nchini Sudan Kusini.
UN News
Wafanyakazi wachanga kiwandani wakitengeneza Shati nchini Ghana.
UN News
Familia kutoka Idlib zikipotelea vita na usalama huko Afrin uko serikali ya vijijini ya Aleppo mnamo January.
UN News
Wanafunzi wa shule ilioko kijijini Koroko Foumasa Nchini Cote d'Ivoire wakichukua chakula chao cha mchana.
UN News
UNFPA yatarajia ongezeko la kesi za mimba zisizotarajiwa, ukeketaji na unyanyasaji wa kijinsia zitakazo tokana na janga hili la COVID-19
UN News
Niger inakumbana na upungufu wa chakula na viwango vya mapato ya chini
UN News
Mtoto wa siku tisa wa kiume na mamaye kijijini Bambaya wilaya ya Fiama Chiefdom,Kono Nchini Sierra Leone
UN News
Huachao Sang,Daktari kutoka wilaya ya Jiangsu akitafuta karatasi za mgonjwa wake katika hospitali ilioko Wuhan.
UN News
Adrien Bali, mwenye umri wa miaka 56 akizungumza katika hospitali ya Mtakatifu Joseph mjini Kinshasa, nchini DRC baada ya kupona COVID-19.
UN News
Shirika la afya kwa nchi za Amerika PAHO linatoa mafunzo ya upimaji wa virusi vya COVID-19 kwa wataalam wa maabara nchini Guyana
UN News
Ndege ya mshikamano ya UN ikitokea Addis Ababa, Ethiopia itawasilisha vifaa tiba nchi kadhaa barani Afrika.
UN News
Mtaa wa mabanda wa Kibera, mji kuu, Kenya, Nairobi
UN News
Wakimbizi wa Burundi katika makazi ya Mulongwe huko Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
UN News
Wahudumu wa afya wapokea vifaa tiba kutoka kwa UNICEF huko Jakarta kwa ajili ya kukabiliana na COVI-19
UN News
Kamishna Mkuu wa haki za binadamu, Michelle Bachelet alipotembelea Bunia, huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC mwezi Januari mwaka huu wa 2020
UN News
Wakazi wa jimbo la Lagos waigiza kuhusu namna ya kukohoa kwenye kiwiko cha mkono wakati wa kampeni ya kuzuia virusi vya corona
UN News
Mama na bintiye wakiwa wamevaa barakoa kujilinda dhidi ya virusi vya corona katika kituo cha afya Abidjan, C?te d'Ivoire.
UN News
Nchini Syria watoto wakibebwa kwenye lori wakati familia zikikimbia machafuko jimbo la Idlib.
UN News
Lugha zinaunganisha ulimwengu-UNESCO
UN News
Wakimbizi wa ndani nchini Syria waliokimbia machafuko kusini mwa Idlib na mashariki mwa Aleppo.
UN News
Je wazungumza Kiswahili?
UN News
Watoto wa chekechea wakiwa wamevaa barakoa mjini Johannesburg nchini Afrika Kusini wakati huu wa COVID-19
UN News
Shirika la afya ulimwenguni, WHO linashirikiana na Facebook kukabiliana na kuenea kwa taarifa potofu kuhusu chanjo katika mitandao ya kijamii
UN News
Kundi la nzige likiwa angani kwenye moja ya mashamba
UN News
Mkurugenzi wa shirika la afya duniani, WHO kanda ya Afrika Dkt. Matshidiso Moet.
UN News
Mama akiwafundisha wanae katika wilaya ya Shamva nchini Zimbabwe wakati wamlipuko wa COVID-19.
UN News
Walinda amani wa MONUSCO wameweka mikakati kudhibiti kuenea kwa COVID-19
UN News
Kijana Tanzania atengeneza ndoo ya kunawa mikono bila kugusa koki wala sabuni.
UN News
Masoko yafungwa nchini Uganda wakati serikali ikichukua hatua kukabiliana na kusambaa kwa COVID-19
UN News
Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Tijjani Muhammad-Bande ashiriki mkutano kwa njia ya mtandao wa wanachama wa UN kuhusu virusi vya corona.
UN News
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa miongoni mwa washiriki wa mkutano wa G-20 kwa njia ya video
UN News
Mama akiwa amembeba bintiye mchanga akimwandaa kwa ajili ya kupata chanjo kadhaa katika kituo cha chanjo kilichofadhiliwa na UNICEF katika jimbo la Kivu Kaskazini nchini DRC.
UN News
Tarehe 3 Januari 2020 Jeremiah Mamabolo alipofika katika eneo la kambi iliyotelekezwa mjini El Geneina huko Darfur Magharibi kufuatia mapigano ya kijamii
UN News
Mtazamo wa maeneo ya forodhani visiwani Zanzibar.
UN News
Nchi zilizoendelea kama Marekani, watoto wanaendelea na masomo kwa njia ya mtandao wakiwa nyumbani katika kipindi hiki cha mlipuko wa virusi vya corona
UN News
Zao la ndizi likitunzwa vyema ni suluhu ya umaskini kwa wakulima na familia zao
UN News
Watoto wakimbizi wa ndani wakiwa kwenye hema lililochanika katika makazi ya wakimbizi wa ndani ya Abs nchini Yemen.
UN News
Bustani ya amani katika shule ya Immaculate nchini Uganda ambayo ni sehemu ya programu ya UNESCO ya ASPnet
UN News
Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Kenya, Siddharth Chatterjee akizungumza na wanahabari wakati wa ziara yake ya hivi karibuni kaskazini mwa Kenya.
UN News
Barabara ya UN jijini Nairobi nchini Kenya iko wazi wakati huu ambapo watu wanafanyia kazi nyumbani kuepuka kusambaza virusi vya corona.
UN News
Barabara ya UN jijini Nairobi nchini Kenya iko wazi wakati huu ambapo watu wanafanyia kazi nyumbani kuepuka kusambaza virusi vya corona.
UN News
Shughuli za ununuzi kwenye duka jijini Dar es Salaam, Tanzania wakati huu ambapo kumeripotiwa kutangazwa kwa visa vya corona nchini humo.
UN News
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akifanya mkutano kupitia mtandao kuhusu janga la kimataifa la COVID-19
UN News
Barakoa za kijinginga na maambukizi ya COVID-19 zinazopendekezwa kutumika
UN News
Kundi la nzige kwenye eneo moja la shamba huko eneo la Salal, Somaliland
UN News
Wananchi katika moja ya mitaa ya jiji la Dar es salaam, Tanzania. Picha ya MAKTABA
UN News
Kuosha mikono kwa sekunde 20 kunahamasishwa kama hatua za kukabiliana na virusi vya corona COVID-2019.
UN News
Maonyesho Maonyesho ya darasa lisilokuwa na ...
UN News
Catalina Devandas
UN News
Jumla ya visa vya corona Kusini Mashariki mwa Asia (Hadi kufikia 17 Machi 2020)
UN News
Vifaa tiba vilivyotolewa na shirika la mpango wa chakula duniani, WFP vikiwasili, Beijing.Vifaa tiba vilivyotolewa na shirika la mpango wa chakula duniani, WFP vikiwasili, Beijing.
UN News
Leo nchini Chad kuna takriban watu 657,000 waliofurushwa makwao asilimia 51 ni wanawake na wasichana.
UN News
Vifaa tiba vilivyotolewa na shirika la mpango wa chakula duniani, WFP vikiwasili, Beijing.
UN News
Kuosha mikono kwa sekunde 20 kunahamasishwa kama hatua za kukabiliana na virusi vya corona COVID-2019
UN News
Taswira kupitia dirisha la chuma ikionyesha mazingira ya wahamiaji waliolala kwenye magodoro sakafuni kwenye moja ya vituo vya kushikilia wahamiaji nchini Libya
UN News
Mfano wa virusi vya corona
UN News
Wanafunzi wa mjini Bujumbura
UN News
Waziri Mkuu wa Sudan Abdalla Hamdok katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
UN News
Picha ya maktaba ikiwaonesha wazazi wakimtembelea binti yao mwenye umri wa miaka 15 ambaye anashukiwa kuwa na Ebola kwenye ktiuo cha matibabu huko Beni, DRC.
UN News
Masoko ya hisa duniani yamekuwa yakishuka thamani kadri mlipuko wa virusi vya corona unavyozidi.
UN News
Ndugu wawili Romeu na Kulutwe kutoka Angola wakiwa na familia zao wakivuka mto Tuquesa kuelekea Bajo Chiquito ambacho ni kijiji cha kwanza nchini Panama katika mpaka wa Colombia
UN News
Picha ya mwaka uliopita yaani 2019, ikiwaonesha washiriki wa CSW63 iliyofanyika mwaka huo walipokutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. Mwaka huu, kutokana na mlipuko wa COVID-19 mkusanyiko kama huu umeshindikana
UN News
Vipimo vya joto ni nyuzi joto chini ya selsiasi 10 nchini Syria
UN News
Washiriki wa CSW63 wakisherehekea kukamilika kwa mkutano huo mjini New York Marekani.
UN News
Wanawake wakizungumza kwenye kampeni ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake, Sudan Kusini. Kushoto ni Dudu Emilia.
UN News
Mwanamke katika kiwanda cha kutengeneza wanasesere, Shenzen, China.
UN News
Manusura wa Ebola akifanya kazi katika kituo cha kulea watoto katika eneo la Butembo mashariki mwa DRC (Agosti 2019)
UN News
Wanafunzi wakiwa na miche ya miti nje ya shule yao ya sekondari ya Matero kwenye mji mkuu wa Zambia, Lusaka.
UN News
Winnie Byanyima ambaye ni mkurugenzi mtendaji mpya wa UNAIDS akiwa kwenye moja ya mikutano ya kuwawezesha wanawake kiuchumi kwenye Umoja wa Mataifa.
UN News
Michelle Bachelet, Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa.
UN News
Mwezi Septemba mwaka 2018, Radio Okapi ilikuwa na matangazo ya moja kwa moja kutoka Beni, Kivu Kaskazini ambako kulikuwa ni kitovu cha mlipuko wa Ebola
UN News
Nzige wanaweza kuharibu mazao na nyasi za mifugo
UN News
Katika picha hii kutoka maktabani mwanamke akiwa katika moja ya viwanda vya kushona nguo nchini Cambodia.
UN News
Leo nchini Chad kuna takriban watu 657,000 waliofurushwa makwao asilimia 51 ni wanawake na wasichana.
UN News
Kipima joto kinachotumiwa kupima viwango vya ...
UN News
Familia waliokimbia machafuko wakiwa ndani ya chandarua kambi ya Pissila nchini Burkina Faso
UN News
Mama akinunua samaki wa mkebe kwa vocha cha WFP Burao, Kaskazini mwa Somalia.
UN News
Nchini Nepal na ni taswira ya mji mkuu Kathmandu na kwenye miteremko ya milima ni makazi ya watu na vyanzo vya vipato pamoja na mashamba ya mazao ya chakula
UN News
Mwanamke aliyefurushwa Kaskazini mwa Mali ukanda wa Sahel akiwa katika makazi ya muda karibu na kituo cha basi Mopti
UN News
Mwanamke akiwa ameshikilia kisu kilichotumika kwenye ukeketaji.
UN News
Watu wavaa vinyago vya uso wanapokuwa ...
UN News
Baba mzazi kutoka Syria anasimama na watoto wake katika kambi ya Bardarash mjini Duhok, Iraq, siku moja baada ya kuwasili.
UN News
Usambazaji wa chakula mjini Beira, Msumbiji. Katika shule iliyogeuzwa kuwa makazi, familia 70 zikipokea chakula kutoka WFP. Familia nyingi zimeathirika kutokana na kimbunga.
UN News
Nchini Burkina Faso, idadi ya watu wanaokabiliwa na ukosefu mkubwa wa chakula umeongezeka.
UN News
Auschwitz-Birkenau, Poland.
UN News
Jiji la Tianjin China
UN News
Hali baada ya mashambulizi ya Jumanne usiku dhidi ya kituo kinachoshikilia wakimbizi Tajoura, mashariki mwa Tripoli.
UN News
Wanafunzi kutoka shule ya msingi ya Minyinyi, nchini Tanzania na mwalimu wao ambaye anawafundisha kutumia kifaa cha kupima rutuba kwenye ardhi kwa ajili ya vipimo vya mbolea.
UN News
Kikao cha baraza la haki la binadamu mjini Geneva.
UN News
Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Yemen, Martin Griffiths akihutubia Baraza la Usalama kwa njia ya video.
UN News
UN News/Grece Kaneiya Dkt. Philip Mpango, Waziri wa Fedha wa Tanzania wakati wa mahojiano na Idhaa ya Kiswahili ya UN kando mwa jukwaa la ngazi ya juu la kisiasa kuhusu utekelezaji wa SDGs. (18 July 2019)
UN News
UN Photo/Martine Perret Wafanyakazi wa kituo cha Ebola cha Katwa Butembo, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC wakisafisha viatu na nguo
UN News
Paul Kagame, President of the Republic of Rwanda, addresses the general debate of the General Assembly¡¯s seventy-fourth session. 24 September 2019
UN News
Aerial view of Mozambique affected by floods due to the tropical cyclone Idai
UN News